Friday 11 September 2009

Mechi za Vilabu zarudi tena!!
Baada ya mikiki na hekaheka, furaha kwa baadhi na huzuni kwa wengine katika Nchi zao mbalimbli zilizokuwa zikiwania kuingia Fainali Kombe la Dunia huko Afrika Kusini 2010, sasa tunarudi kwenye michuano ya Klabu kwenye LIGI KUU England, UEFA CHAMPIONS LIGI na EUROPA LIGI.
Ifuatayo ni Ratiba ya Wiki moja kuanzia Jumamosi hii hadi Jumapili, Septemba 20.
LIGI KUU ENGLAND:
Jumamosi, 12 Septemba 2009
[mechi zote saa 11 jioni saa za bongo isipokuwa ikitajwa]
Blackburn v Wolverhampton
Liverpool v Burnley
Man City v Arsenal
Portsmouth v Bolton
Stoke v Chelsea
Sunderland v Hull
Tottenham v Man Utd [saa 1 na nusu usiku]
Wigan v West Ham
Jumapili, 13 Septemba 2009
Birmingham v Aston Villa [saa 8 mchana]
Fulham v Everton [saa 12 na robo]
UEFA CHAMPIONS LEAGUE:
[mechi zote saa 3 dak 45 usiku bongo taimu]
Jumanne, 15 Septemba 2009
Atletico Madrid v Apoel Nicosia
Besiktas v Man U
Chelsea v FC Porto
FC Zurich v Real Madrid
Juventus v Bordeaux
Maccabi Haifa v Bayern Munich
Marseille v AC Milan
Wolfsburg v CSKA Moscow
Jumatano, 16 Septemba 2009
Dynamo Kiev v Rubin Kzan
Inter Milan v Barcelona
Liverpool v Debrecen
Lyon v Fiorentina
Olympiakos v AZ Alkmaar
Sevilla v Unirea Urziceni
Standard Liege v Arsenal
VfB Stuttgart v Rangers
EUROPA LIGI:
[Kuna jumla ya mechi 24 na hapa zinatajwa mechi zinazohusu Timu za Uingereza tu. Ratiba kamili tutaiweka baadae].
Alhamisi, 17 Septemba 2009
Hapoel Tel Aviv FC V Celtic
PFC CSKA Sofia v Fulham
Everton v AEK Athens
LIGI KUU ENGLAND:
[saa za bongo]
Jumamosi, 19 Septemba 2009
[saa 8 dak 45 mchana]
Burnley v Sunderland
[saa 11 jioni]
Bolton v Stoke
Hull v Birmingham
[saa 1 na nusu usiku]
West Ham v Liverpool
Jumapili, 20 Septemba 2009
[saa 9 na nusu mchana]
Man U v Man C
[saa 10 jioni]
Wolves v Fulham
[saa 11 jioni]
Everton v Blackburn
[saa 12 jioni]
Chelsea v Tottenham


No comments:

Powered By Blogger