Friday 11 September 2009

Kijue Kikosi cha Man U kilichosajiliwa UEFA CHAMPIONS LEAGUE
Kila Timu inayoshiriki UEFA CHAMPIONS LEAGUE inatakiwa isajili Wachezaji 25 lakini idadi hiyo inaweza ikaongezeka kwa kutumia Sheria ya UEFA inayoruhusu Vilabu kusajili Wachezaji waliozaliwa tarehe 1 Januari 1988 au baada ya hapo na ambao wamechezea Klabu hiyo mfululizo kwa zaidi ya miaka miwili tangu walipotimiza miaka 15.
Kwa kutumia kipengele hicho, Kikosi cha Man U kwenye UEFA kina jumla ya Wachezaji 35.
Wachezaji 25 waliosajiliwa: Edwin van der Sar, Gary Neville, Patrice Evra, Owen Hargreaves, Rio Ferdinand, Wes Brown, Michael Owen, Dimitar Berbatov, Wayne Rooney, Ryan Giggs, Ben Foster, Ji-sung Park, Nemanja Vidic, Michael Carrick, Nani, Paul Scholes, Fabio, Rafael, John O’Shea, Darren Fletcher, Antonio Valencia, Gabriel Obertan, Federico Macheda, Darron Gibson, Tomasz Kuszczak.
Wachezaji walioongezwa kwa kipengele maalum cha Sheria za UEFA:
Anderson, Danny Welbeck, Jonny Evans, Corry Evans, Sam Hewson, David Gray, Craig Cathcart, Ron-Robert Zieler, James Chester, Ben Amos

No comments:

Powered By Blogger