Friday 5 December 2008

UEFA CUP: Portsmouth yatolewa nje!, Aston Villa yafungwa lakini yasonga mbele!!

Portsmouth imetwangwa mabao 3-2 na Wolfsburg ya Ujerumani na hivyo kutolewa nje ya Kombe la UEFA.
Aston Villa nao walifungwa mabao 2-1 na MSK Milina lakini wamemudu kusonga mbele kutoka kwenye Kundi lake baada ya Hamburg kuwafunga Slovakia Prague 2-0.
Aston Villa sasa wanaungana na Manchester City kuingia Raundi nyingine.

RATIBA YA LIGI KUU WIKIENDI HII:

Jumamosi, 6 Decemba 2008

[saa 9 dak 45 mchana]

Fulham v Man City

[saa 12 jioni]

Arsenal v Wigan

Blackburn v Liverpool

Bolton v Chelsea

Hull v Middlesbrough

Newcastle v Stoke

[saa 2 na nusu usiku]

Man U v Sunderland

Jumapili, 7 Decemba 2008

[saa 12 jioni]

West Brom v Portsmouth

[saa 1 usiku]

Everton v Aston Villa

Jumatatu, 8 Decemba 2008

[saa 5 usiku]

West Ham v Tottenham

No comments:

Powered By Blogger