Saturday 6 December 2008

LIGI KUU: Wakubwa washinda!!

Timu zinazoaminika ndio 'Wakubwa', yaani Liverpool, Chelsea na Arsenal, zote zimepata ushindi kwenye mechi zao za LIGI KUU za leo na Mabingwa wenyewe, Manchester United, watashuka uwanjani kwake Old Trafford muda si mrefu kuanzia sasa kuwakaribisha Sunderland ambao hawana Meneja baada ya Nahodha wa zamani wa Man U, Roy Keane, kubwaga manyanga.

MATOKEO YA MECHI ZA LEO NI:

Arsenal 1-0 Wigan

Blackburn 1-3 Liverpool

Bolton 0-2 Chelsea

Fulham 1-1 Man City

Hull 2-1 Middlesbrough

Newcastle 2-2 Stoke

No comments:

Powered By Blogger