Sunday 18 October 2009

Listi ya Wagombea Mpira wa Dhahabu “Ballon d’Or” yatangazwa!!!
Ronaldo, Giggs, Rooney, Gerrard, Lampard na Terry ndani ya nyumba!!!
Mchezaji wa bei mbaya ambae ndie mshindi msimu uliokwisha wa Mpira wa Dhahabu, “Ballon d’Or”, Cristiano Ronaldo, yuko kwenye listi ya Wachezaji 30 waliotajwa ndio Wagombea wa Tuzo hiyo inayosifika ambayo hutolewa kila mwaka na Gazeti la Michezo la Soka la Ufaransa na hutambulika kama ndio ya ‘Mchezaji Bora wa Ulaya”.
Ronaldo alinyakua Tuzo hiyo mwaka jana akiwa ni Mchezaji wa Manchester United.
Mshindi wa Tuzo hiyo atatangazwa Desemba 1 huko Paris, Ufaransa.
Listi kamili, ikionyesha Ligi na Klabu wanazochezea ni ifuatayo:
Ligi Kuu England
Arsenal:
Andrey Arshavin
Cesc Fabregas
Chelsea:
Didier Drogba
Frank Lampard
John Terry
Liverpool:
Fernando Torres
Steven Gerrard
Manchester United:
Ryan Giggs
Wayne Rooney
Nemanja Vidic
Primera Liga
Real Madrid:
Karim Benzema
Kaka
Iker Casillas
Cristiano Ronaldo
Barcelona:
Thierry Henry
Zlatan Ibrahimovic
Andres Iniesta
Lionel Messi
Xavi
Yaya Toure
Valencia:
David Villa
Sevilla:
Luis Fabiano
Atletico Madrid:
Diego Forlan
Serie A
Juventus:
Diego
Inter Milan:
Samuel Eto'o
Julio Cesar
Maicon
Bundesliga
Wolfsburg:
Edin Dzeko
Bayern Munich:
Franck Ribery
Ligue 1
Bordeaux:
Yoann Gourcuff

No comments:

Powered By Blogger