Saturday 20 June 2009

KIPINDI CHA UHAMISHO LIGI KUU ENGLAND: Biashara yaanza kutokota!!!

Kipindi cha UHAMISHO Ligi Kuu England kitamalizika hapo tarehe 31 Agost 09 na ligi itaanza rasmi hapo Agosti 15, lakini Klabu za ligi hiyo zipo kwenye michuano mikali ya usajili wa Wachezaji.
Baadhi ya biashara zilizofanywa ni:
Arsenal
NDANI: Thomas Vermaelen (Ajax, £11m)
NJE:
Aston Villa
NDANI:
NJE: Martin Laursen (KASTAAFU),Gareth Barry (Manchester City, £12m)
Birmingham City
NDANI: Christian Benitez (Santos Laguna, £9m), Scott Dann (Coventry, £3.5m) NJE: Mehdi Nafti, Radhi Jaidi, Artur Krysiak (wameachwa), Stephen Kelly (Fulham, bure)
Blackburn Rovers
NDANI: Elrio Van Heerden (Bruges, bure)
NJE: Aaron Mokoena (Portsmouth, bure) Andre Ooijer (PSV Eindhoven), Tugay (astaafu), Johann Vogel (kaachwa)
Bolton Wanderers
HAMNA
Burnley
NDANI:
NJE: Steve Jones, Alan Mahon, Gabor Kiraly (wameachwa),
Chelsea
HAMNA
Everton
HAMNA
Fulham
NDANI: Stephen Kelly (Birmingham, bure)
NJE:
Hull City
NDANI:
NJE: Dean Windass, John Welsh, Michael Bridges (wameachwa), Wayne Brown (Leicester City, bure)
Liverpool
NDANI:
NJE: Jack Hobbs (Leicester,ada haikutajwa), Sami Hyypia (Bayer Leverkusen, bure), Ronald Huth, Godwin Antwi, Miki Roque, Gary MacKay-Steven (wameachwa)
Manchester City
NDANI: Gareth Barry (Aston Villa, £12m)
NJE:
Manchester United
NDANI:
NJE: Cristiano Ronaldo (Real Madrid, Usajili haujakamilika)
Portsmouth
NDANI: Aaron Mokoena (Blackburn, bure)
NJE:
Stoke City
NDANI:
NJE: Vincent Pericard (ameachwa)
Sunderland
NDANI:
NJE: Peter Hartley (Hartlepool, bure), Arnau Riera, Dwight Yorke, Nick Colgan, David Connolly (wameachwa), Darren Ward (kastaafu)
Tottenham Hotspur
NDANI:
NJE: Ricardo Rocha, Simon Dawkins, David Hutton (wameachwa)
West Ham United
NDANI: Peter Kurucz (Ujpest FC, ada haikutajwa),
NJE: Diego Tristan, Lee Bowyer, Walter Lopez, Kyel Reid, Tony Stokes, Jimmy Walker (wameachwa)
Wigan Athletic
NDANI: Jordi Gomez (Espanyol, £1.7m)
NJE:
Wolverhampton Wanderers
Ins: Nenad Milijas (Red Star Belgrade, ada haikutajwa), Marcus Hahnemann (Reading, bure)

No comments:

Powered By Blogger