Saturday 20 June 2009

RATIBA: KOMBE LA MABARA
JUMAMOSI 20 Juni 2009
Iraq v New Zealand
Spain v South Africa
JUMAPILI 21 Juni 2009
Egypt v USA
Italy v Brazil
RATIBA: KOMBE LA DUNIA 2010
JUMAMOSI 20 Juni 2009
ZAMBIA v ALGERIA
KENYA v MOZAMBIQUE
MOROCCO v TOGO
BURKINA FASO v IVORY COAST
TUNISIA v NIGERIA
SUDAN v GHANA
GUINEA v MALAWI
MALI v BENIN
Arsenal yathibitisha kumsaini Vermaelen
Arsenal wamethibitisha kukamilika kwa taratibu zote za kumsaini Mlinzi kutoka Ubelgiji anaechezea Klabu ya Ajax ya Uholanzi kwa ada ya Pauni Milioni 10
Thomas Vermaelen, 23, pia ni Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Ubelgiji na alianza kucheza Ajax akiwa na miaka 18 na kucheza Klabuni hapo jumla ya mechi 143. Kwa sasa ndie Nahodha wa Ajax.

No comments:

Powered By Blogger