Friday 17 July 2009

Man U wavunja safari ya Indonesia!
Safari ya Manchester United kwenda Jakarta, Indonesia imevunjwa baada ya Hoteli waliyotakiwa kufikia kulipuliwa na mabomu.
Viongozi wa Klabu wakishirikiana na Serikali wameamua kuahirisha safari na kuwataka radhi Mashabiki.

No comments:

Powered By Blogger