AC Milan afungwa, Inter Milan atwaa Ubingwa!!!
Baada ya kuchapwa mabao 3-2 na Villareal, Real Madrid wameupeleka Ubingwa wa Spain kwa Watani wao wa Jadi Barcelona ambao jana hawakucheza.
Ubingwa huu ni wa 19 kwa Barcelona ambao wiki iliyopita pia walishinda Kombe la Mfalme Spain kwa kuifunga Atletic Bilbao 4-1.
Barcelona watacheza Fainali ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE hapo Mei 27 mjini Rome, Italia na Mabingwa wa Watetezi wa Ulaya Manchester United ambao jana walitwaa kwa mara ya 18 Ubingwa wa England.
Huko Italia, mambo yalikuwa kama Spain pale AC Milan, Klabu yenye

Mara baada ya mechi hiyo ya Udinese na AC Milan kwisha, mashabiki wa Inter Milan [pichani] walifurika katikati ya jiji la Milan kusheherekea ushindi wao.
Inter Milan, wanaoongozwa na Meneja wa zamani wa Chelsea, Jose Mourinho, sasa wametwaa 'SCUDETTO' kwa mara ya 4 mfululizo.
No comments:
Post a Comment