Thursday 11 June 2009

BIASHARA YA RONALDO:
TAARIFA RASMI YA MANCHESTER UNITED:
'Manchester United imepokea ofa ya Pauni Milioni 80, ambayo ni rekodi ya dunia na isiyo na masharti yeyote, ili kumnunua Cristiano Ronaldo kutoka kwa Real Madrid’
‘Kufuatia ombi la Cristiano binafsi-ambae kwa mara nyingine tena ameonyesha utashi wake kuhama-na baada ya kujadiliana na Wawakilishi wa Mchezaji huyo, United imekubali kuwapa ruhusa Real Madrid kuongea na Mchezaji huyo.’
‘inategemewa shughuli zote zitakamilika ifikapo Juni 30. Klabu haitatatoa tamko lolote hadi baadae.’
TAARIFA RASMI YA REAL MADRID:
'Real Madrid inathibitisha imetoa ofa kwa Manchester United ili kumnunua Mchezaji Cristiano Ronaldo. Klabu inategemea kufikia makubaliano na Mchezaji mwenyewe katika siku chache zijazo.’

No comments:

Powered By Blogger