Thursday 11 June 2009

England 6 Andorra 0
· Ni ushindi wa 7 mfululizo kwenye Kundi lao!!!!
Magoli matatu katika kila kipindi yamewapa England ushindi wa mabao 6-0 mbele ya Mashabiki wao 58,000, wengi waliopata taabu kuwasili Uwanjani Wembley kutoka na mgomo wa Wafanyakazi wa Treni mjini London, na huu ukiwa ni ushindi wao wa 7 mfululizo katika Kundi lao ambalo wanaongoza wakiwa na pointi 21 huku Timu zinazoifuata, Croatia na Ukraine, zina pointi 11.
Rooney na Defoe walipachika bao 2 kila mmoja na Lampard na Crouch walifunga bao 1 kila mmoja.
Vikosi vilikuwa:
England:
Green, Johnson, Lescott, Terry, Ashley Cole (Bridge 63), Walcott, Beckham, Lampard, Gerrard (Young 45), Rooney (Defoe 45), Crouch.Akiba hawakucheza: Robinson, Neville, Wright-Phillips, Carlton Cole.
Magoli: Rooney 4, Lampard 29, Rooney 39, Defoe 73, 76, Crouch 81.
Andorra: Alvarez (Gomez 89), Ayala, Ildefons Lima, Sonejee, Antoni Lima (Vales 46), Txema Garcia, Jimenez, Andorra, Vieira, Moreno, Silva (Fernandez 79).Akiba hawakucheza: Escura, Moreira, Rodriguez, Genis Garcia.
Kadi: Andorra, Alvarez.
Watazamaji: 57,897
Refa: Hendrikus Nijhuis (Uholanzi).
MATOKEO:Jumatano, 10 Juni 2009
ULAYA:

England 6 v Andorra 0,

Faroe Islands 0 v Serbia 2,

Finland 0 v Russia 2,

FYR Macedonia 2 v Iceland 0,

Netherlands 2 v Norway 0,

Sweden 4 v Malta 0,

Ukraine 2 v Kazakhstan 1,
ASIA:
Australia 2 Bahrain 0
Japan 1 Qatar 1
South Korea 0 Saudi Arabia 0
Iran 1 UAE 0
MAREKANI YA KUSINI:
Ecuador 2 Argentina 0

No comments:

Powered By Blogger