Thursday 6 May 2010

Tottenham washinda Fainali ya Nafasi ya 4
Man City 0 Spurs 1
Peter Crouch aliwapa furaha Tottenham alipofunga bao dakika ya 82 na kuwapa ile nafasi ya nne ya kucheza Ulaya Msimu ujao na kuwatosa Man City.
Katika mechi nyingine ya Ligi Fulham walifungwa 1-0 na Stoke City.

No comments:

Powered By Blogger