Friday 30 July 2010

CHEKI: www.sokainbongo.com

EUROPA LIGI: Ngog aibeba Liverpool!
Bao mbili za David Ngog zimewapa Liverpool ushindi wa ugenini wa 2-0 dhidi ya Rabotnicki ya Macedonia katika mechi ya kwanza ya Raundi ya 3 ya Mtoano wa EUROPA LIGI iliyochezwa usiku Alhamisi Julai 29.
Liverpool ilicheza bila Mastaa wao ambao walipewa likizo ndefu kidogo baada ya sulubu za Kombe la Dunia.
Timu hizi zitarudiana Anfield Agosti 5.
Timu:
Rabotnicki: Bogatinov, Belica, Sekulovski, Dimovski, Todorovski, Gligorov, Tuneski, Fernando Lopes, Ze Carlos, Da Silva, Wandeir.
Akiba: Kandikijan, Marcio, Mojsov, Adem, Roberto Carlos, Petkovski, Sinkovic.
Liverpool: Cavalieri, Kelly, Kyrgiakos, Skrtel, Agger, Spearing, Aquilani, Lucas, Jovanovic, Ngog, Amoo.
Akiba: Gulacsi, Darby, Shelvey, Dalla Valle, Eccleston, Ayala, Ince.

No comments:

Powered By Blogger