Friday 30 July 2010

Real yamsaini Khedira
Klabu ya Bundesliga Sttugart imethibitisha Mchezaji wao Kiungo Sami Khedira anahamia Real Madrid baada kukubaliana ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 14.
Khedira, Miaka 23, ameshakubaliana maslahi binafsi na Real na atapimwa afya yake na kukamilisha kusaini Mkataba wa Miaka mitano.

No comments:

Powered By Blogger