Monday 22 June 2009

KOMBE LA MABARA: Nusu Fainali Jumatano na Alhamisi
Nusu Fainali za Kombe la Mabara zitachezwa siku ya Jumatano Juni 24 Spain itakapochuana na USA Uwanjani Free State huko Mangaung, Bloemfontein na Alhamisi ni Brazil na Wenyeji Afrika Kusini Uwanjani Ellis Park, Johannesburg, uwanja ambao ndio wa nyumbani wa Klabu maarufu huko Bondeni, Orlando Pirates.

Mechi hizi zote zitaanza saa 3 na nusu usiku saa za kibongo.

No comments:

Powered By Blogger