Friday 26 June 2009

UEFA U21: KOMBE LA VIJANA CHINI YA MIAKA 21: NUSU FAINALI LEO
  • SWEDEN v ENGLAND
  • GERMANY v ITALIA
Wenyeji Sweden leo wako Nusu Fainali ya Kombe la UEFA la Vijana wa Chini ya Miaka 21 na wanakutana na England mechi itakayoanza saa 1 usiku bongo taimu.
Italia watacheza na Germany saa 3 dakika 45 usiku.
Washindi watakutana Fainali Jumatatu tarehe 29 Juni 2009 kupata Bingwa wa Ulaya wa Timu za Taifa za Vijana wa chini ya miaka 21.

No comments:

Powered By Blogger