Saturday 2 January 2010

KOMBE LA FA: Mechi 3 zaahirishwa kutokana na hali ya hewa mbaya!!!
Mechi 3 za Raundi ya 3 ya Kombe la FA zilizokuwa zichezwe leo zimeahirishwa kutokana na hali mbaya ya hewa inayofuatia baridi kali na kuganda barafu kwa Viwanja.
Mechi hizo sasa zimepangwa kuchezwa Januari 12.
Mechi zilizoahirishwa ni:
Accrington v Gillingham
Brentford v Doncaster
Bristol City v Cardiff

No comments:

Powered By Blogger