Friday 11 June 2010

CHEKI: http://www.sokainbongo.com/


Bafana Bafana ya kuikwaa Mexico yatajwa
Afrika Kusini imekitangaza Kikosi chake cha Wachezaji 11 wataocheza na Mexico leo saa 11 katika mechi ya ufunguzi ya Fainali za Kombe la Dunia mechi ambao itachezwa Uwanja wa Soccer City, Soweto, Johannesburg.
Wachezaji hao 11 ni: Itumeleng Khune; Siboniso Gaxa, Lucas Thwala, Bongani Khumalo, Aaron Mokoena; Reneilwe Letsholonyane, Kagisho Dikgacoi, Steven Pienaar, Teko Modise, Siphiwe Tshabalala; Katlego Mphela.
Afrika Kusini wako Kundi A na timu nyingine kwenye Kundi hili ni Uruguay na Ufaransa ambazo zitacheza leo saa 3 na nusu usiku, saa za bongo huko Uwanja wa Green Point, Cape Town.

No comments:

Powered By Blogger