Bafana Bafana ya kuikwaa Mexico yatajwa

Wachezaji hao 11 ni: Itumeleng Khune; Siboniso Gaxa, Lucas Thwala, Bongani Khumalo, Aaron Mokoena; Reneilwe Letsholonyane, Kagisho Dikgacoi, Steven Pienaar, Teko Modise, Siphiwe Tshabalala; Katlego Mphela.
Afrika Kusini wako Kundi A na timu nyingine kwenye Kundi hili ni Uruguay na Ufaransa ambazo zitacheza leo saa 3 na nusu usiku, saa za bongo huko Uwanja wa Green Point, Cape Town.
No comments:
Post a Comment