Saturday 12 June 2010

CHEKI: www.sokainbongo.com

NINI WALISEMA:
-“Sichezi peke yangu na siwezi kuleta miujiza” Cristiano Ronaldo akikiri yeye ni binadamu kama wengine.

-“Hukuona ng’ombe wakizunguka nje ya Hoteli huko Ujerumani!” Kiungo wa USA DarMarcus Beasley akibainisha tofauti ya Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka huu 2010 na zile za Mwaka 2006 huko Ujerumani.

-“Lazima wawe werevu na kuusahau Usupastaa wao na kutambua kitu pekee muhimu ni Timu na si wao. Kama hawaelewi hilo nitahitaji bunduki!” Kocha wa Ufaransa Raymond Domenech akihidhihirisha Timu ina mpasuko wa Masupastaa.

No comments:

Powered By Blogger