Wednesday 14 July 2010

CHEKI: www.sokainbongo.com


FIFA yatoa Listi ya Ubora Duniani, Spain juu…Bongo yaporomoka ni wa 112!!
Leo FIFA imetoa Listi ya ubora Duniani kwa Timu za Taifa na kama ilivyotegemewa, Mabingwa wapya wa Dunia, Spain, ndio wanaongoza wakifuatiwa na Holland, Brazil na Germany.
England wapo nafasi ya 7.
Tanzania imeporomoka nafasi 4 na sasa wako nafasi ya 114.
Timu za juu ni:
1 Spain
2 Holland
3 Brazil
4 Germany
5 Argentina
6Uruguay
7 England
8 Portugal
9 Egypt
10 Chile
11 Italy
12 Greece
13 USA
14 Serbia
15 Croatia
Tanzania imezungukwa na:
110 Zimbabwe
111 Georgia
112 Tanzania
113 Rwanda
114 Cuba
115 Kenya

No comments:

Powered By Blogger