Man United 3 Celtic 1

Celtic walisawazisha kwa penalti ya Georgios Samaras dakika ya 61 baada ya Wes Brown kumwangusha Straika wa Celtic.
Danny Welbeck alifunga bao la pili dakika ya 74 baada ya kupokea pasi toka kwa Berbatov na dakika ya 86 Cleverly akapachika bao la 3 kwa shuti lililombabatiza Beki na kumbabaisha Kipa Lukasz Zaluska.
Kikosi cha Man United kilichoanza kilikuwa:
Edwin van der Sar, Ryan Giggs, Paul Scholes, Darren Fletcher, Berbatov, Fabio, Rafael, Jonny Evans, Smalling, Obertan, Diouf.
Mechi inayofuata kwa Man United ni huko Philadelphia, Marekani hapo Julai 21 dhidi ya Philadelphia Union.
No comments:
Post a Comment