Monday 28 July 2008

MUNTARI ATUA INTER MILAN
Mchezaji wa Ghana na Timu ya LIGI KUU UINGEREZA Portsmouth, Sulley Muntari, miaka 23, amesaini mkataba wa miaka minne kwenye Klabu ya Italia Inter Milan.
Muntari ni mchezaji wa pili kusainiwa na Meneja mpya wa Inter Milan Jose Mourinho.

Wa kwanza ni Winga kutoka Klabu ya Roma Roberto Mancini.

No comments:

Powered By Blogger