Sunday 27 July 2008

CHIMBONDA AHAMIA SUNDERLAND.
Beki Mfaransa wa Tottenham, Pascal Chimbonda, amekuwa mchezaji wa pili wa Tottenham kuhamia Sunderland baada ya kiungo Teemu Tainio kufanya hivyo siku tatu zilopita.
Kabla ya kwenda Tottenham, Chimbonda alikuwa akichezea Wigan.

***************************************************************************************
KIPA WA BLACKBURN BRAD FRIEDEL AENDA ASTON VILLA.
Kipa mkongwe Mmarekani, Brad Friedel, umri miaka 37, amehamia Klabu ya Aston Villa akitokea Klabu yake ya siku nyingi Blackburn Rovers aliyoichezea kwa miaka minane na jumla ya mechi 287.
Juzi, Blackburn walimnunua aliekuwa Kipa nambari wani wa Uingereza Paul Robinson kutoka Tottenham.

No comments:

Powered By Blogger