Sunday 1 November 2009

FIFA U-17 WORLD CUP NIGERIA 2009
Iran, Colombia, Turkey na Burkina Faso zaingia Raundi ya Pili
Katika KUNDI C, Iran na Colombia zimemaliza nafasi ya kwanza na ya pili na zimeingia Raundi ya Pili huku Uholanzi ikisubiri kujua kama iatapata nafasi hiyo kama Mshindi wa 3.
Kwenye KUNDI D ni Turkey na Burkina Faso ndizo zimefuzu huku New Zealand ikusubiria nafasi ya 3.
MATOKEO MECHI Jumamosi, Oktoba 31:
KUNDI C
Gambia 2 v Colombia 2
Netherlands 0 v Iran 1
KUNDI D
Burkina Faso 4 v Costa Rica 1
New Zealand 1 v Turkey 1
RATIBA MECHI ZA LEO Novemba 1:
KUNDI E
Malawi v Spain
UAE v USA
KUNDI F
Korea Republic v Algeria
Italy v Uruguay

No comments:

Powered By Blogger