Monday 2 November 2009

FIFA U-17 WORLD CUP NIGERIA 2009
Timu zilizoingia Raundi ya Pili zakamilika!!
MATOKEO MECHI ZA JANA Novemba 1:
KUNDI E
Malawi 1 Spain 4
USA 1 United Arab Emirates 0
KUNDI F
Korea Republic 2 Algeria 0
Italy 0 Uruguay 0
Spain na USA zimeshika nafasi za juu za KUNDI E na hivyo kuingia Raundi ya Pili na katika KUNDI F ni Italy na Korea ndizo zimesonga mbele.
Timu zilizofuzu kuingia Raundi ya Pili kwa tiketi ya kuwa nafasi ya 3 bora ni Uruguay, UAE, Germany na New Zealand.
Lakini UAE ndio wenye bahati kubwa sana kwani walikuwa wamefungana kila kitu, pointi na magoli, na Brazil na Uholanzi hivyo wakapata nafasi tu ya kusonga mbele kwa sababu tu walipata Kadi moja chache kupita Brazil na Uholanzi.
RATIBA RAUNDI YA PILI:
Novemba 4:
Argentina v Colombia
Turkey v UAE
Switzerland v Germany
Italy v USA
Novemba 5:
Spain v Burkina Faso
Iran v Uruguay
Mexico v South Korea
Nigeria v New Zealand

No comments:

Powered By Blogger