Thursday 5 November 2009

FIFA U-17 WORLD CUP NIGERIA 2009
Wenyeji Nigeria, Spain na Korea Robo Fainali!
MATOKEO MECHI ZA LEO Alhamisi, Novemba 5:
Nigeria 5 New Zealand 0
Spain 4 Burkina Faso 1
Mexico 3 South Korea 5
Iran 1 v Uruguay 2
RATIBA ROBO FAINALI:
Novemba 8:
Colombia v Turkey
Uswisi v Italy
Novemba 9:
Spain v Uruguay
Nigeria v South Korea
BONGO YANYUKWA 5-1 NA MISRI MECHI YA KIRAFIKI!
Katika mechi ya Kirafiki iliyochezwa Misri kuanzia saa 2 na nusu Bongo Taimu, Timu ya Taifa ya Tanzania leo imefungwa mabao 5-1 na Misri inayojitayarisha kucheza mechi yake ya mwisho na Algeria ili kuingia Fainali Kombe la Dunia mwakani huko Afrika Kusini mechi itakayochezwa Novemba 14.
Misri wanahitaji ushindi wa 3-0 ili waingie Fainali na ikiwa mechi hiyo itaisha huku Misri kashinda 2-0 basi itachezwa Uwanja wa Nchi baki [sio Misri wala Algeria] ili apatikane Mshindi kwenda Fainali Kombe la Dunia.
Magoli ya Misri yalifungwa na Imad Mutab, dakika ya 8 na 34, Amr Zaki, dakika ya 34, Mohamed Barakat, dakika ya 41 na Ahmad Raof dakika ya 86.
Bao la Bongo lilifungwa dakika ya 45 na Mfungaji hatukumjua.

No comments:

Powered By Blogger