Wednesday 4 November 2009

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: Rubin Kazan 0 Barcelona 0
Katika mechi iliyochezwa Urusi na kuanza mapema kupita nyingine zote za leo za UEFA CHAMPIONS LEAGUE, Mabingwa Watetezi wa Kombe hili Barcelona wamejikuta wakitoka 0-0 na Mabingwa wa Urusi Rubin Kazan ambao waliwanyuka Barcelona 2-1 huko kwao Nou Camp wiki mbili zilizokwisha.
Matokeo haya yanamaanisha Kundi hili liko wazi na Inter Milan ambao wako mkiani wakiwafunga Dynamo Kiev katika mechi inayoanza dakika chache zijazo watachupa hadi kileleni kwenye Kundi hili F.

No comments:

Powered By Blogger