Friday 26 March 2010

EURO 2012: Mashabiki wachukizwa mechi za England kuchezwa Ijumaa
Mashabiki wa England wamechukizwa na hatua ya FIFA kubadilisha Kalenda ya mechi za Kimataifa na kufanya moja ya siku ya mechi za Kimataifa kuwa Ijumaa ili kuwawezesha Wachezaji kurudi kwenye Klabu zao siku moja kabla.
David Taylor, Sekretari wa UEFA, amesema wao wamelazimika kuufuata uamuzi wa FIFA ambao aliuita ni wa kufurahisha Mameneja wa Klabu.
Ingawa FA, Chama cha Soka England, kimesema hakina pingamizi lolote kwa England kucheza Ijumaa, lakini Msemaji wa Chama cha Mashabiki wa England, Mark Perryman, amedai kwa Mashabiki wa England waishio London hilo halina ubaya lakini kwa wale walio nje ya London ni ngumu kwenda Wembley kwani Ijumaa ni siku ya kazi.
RATIBA ya Mechi za England:
IJUMAA, Septemba 3, 2010: England v Bulgaria
JUMANNE, Septemba 7, 2010 Switzerland v England
JUMANNE, Oktoba 12, 2010 England v Montenegro
JUMAMOSI, Machi 26, 2011 Wales v England
JUMAMOSI, Juni 4, 2011 England v Switzerland
IJUMAA, Septemba 2, 2011 Bulgaria v England
JUMANNE, Septemba 6, 2011 England v Wales
IJUMAA, Oktoba 7, 2011 Montenegro v England
LIGI KUU: RATIBA Mechi za Wikiendi hii
Jumamosi, Machi 27
Birmingham v Arsenal
Bolton v Man United
Chelsea v Aston Villa
Hull City v Fulham
Tottenham v Portsmouth
West Ham v Stoke City
Wolves v Everton
Jumapili, Machi 28
Burnley v Blackburn
Liverpool v Sunderland
Jumatatu, Machi 29
Man City v Wigan
FA CUP: NUSU FAINALI kuchezwa Wembley Stadium
Aprili 10: Chelsea v Aston Villa
Aprili 11: Tottenham v Portsmouth
[FAHAMU: Tottenham alimfunga Fulham 3-1 katika mechi ya Marudio Jumatano Machi 24]

No comments:

Powered By Blogger