Sunday 22 June 2008




Blackburn wamteua Paul Ince kuwa Meneja


Blackburn Rovers imetangaza kuwa bosi wa MK Dons Paul Ince ndie atakuwa Meneja wao mpya kuchukua nafasi ya Maark Hughes aliehamia Manchester City.
Ince, mwenye umri wa miaka 40, amepewa mkataba wa miaka mitatu na anaweka historia ya kuwa Meneja wa kwanza 'mweusi' katika historia ya LIGI KUU UINGEREZA
.

No comments:

Powered By Blogger