Tuesday 24 June 2008


Italy wamtimua Donadoni!!!!!!
Shirikisho la Kandanda la Italia limemtimua Meneja wa Timu ya Taifa ya Italia Roberto Donadoni kufuatia timu hiyo kutolewa kwenye Nusu Fainali ya EURO 2008 na Uhispania.
Uhispania ilishinda kwa penalti 4-2 baada ya dakika 120 za mchezo kuwa suluhu 0-0.
Inasemekana Marcello Lippi alieiongoza Italia kuchukua Kombe la Dunia mwaka 2006 huko Berlin, Ujerumani kama Meneja atarudia tena kazi yake aliyoiacha tangu wakati huo.

No comments:

Powered By Blogger