Monday 16 June 2008


LEO SAA 3.45 USIKU: Austria-Germany & Poland-Croatia
Mechi za leo za KUNDI B kati ya AUSTRIA V GERMANY na POLAND V CROATIA zitaamua hasa nani anakutana na PORTUGAL kwenye ROBO FAINALI kwani ingawa PORTUGAL hapo jana alifungwa 2-0 na wenyeji USWISI amemaliza KUNDI A akiwa wa kwanza na hivyo atakutana na mshindi wa pili KUNDI B wakati UTURUKI alieushangaza ulimwengu hapo jana wakati akiwa ashapigwa 2-0 na CZECH ikiwa imebaki robo saa tu aliibuka na ushindi wa 3-2 na hivyo kusonga mbele akiwa mshindi wa pili ambapo atakutana na mshindi wa kwanza KUNDI B ambae ni CROATIA.

No comments:

Powered By Blogger