Saturday 25 October 2008

Mabingwa Man U wavutwa shati!: Everton 1 Man U 1

Mabingwa wa LIGI KUU, Man U, baada ya kutawala kipindi cha kwanza na kuongoza kwa bao la Darren Fletcher, walilazimishwa sare ya 1-1 na Everton kwenye mechi ya ligi iliyochezwa Goodison Park.
Everton walisawazi kipindi cha pili kwa bao lililofungwa na Fellaini.
Hii ni mechi ambayo Man U wataona ni kama wametupa pointi 2 kwani walikuwa na kila nafasi ya kupata bao la 2.

No comments:

Powered By Blogger