Sunday 23 August 2009

Fulham 0 Chelsea 2
Chelsea wameendeleza wimbi la ushindi huu ukiwa ushindi wao wa tatu mfululizo katika mechi 3 za Ligi Kuu England walizocheza mpaka sasa kwa kuwafunga Fulham wakiwa nyumbani Uwanjani Craven Cottage.
Ni Washambuliaji wao wakuu Didier Drogba na Nicolas Anelka waliowapatia mabao yao hayo mawili.
Drogba alipachika bao dakika ya 39 kipindi cha kwanza na Anelka dakika ya 76 kipindi cha pili.

No comments:

Powered By Blogger