Friday 28 August 2009

Klabu za Uingereza zapangwa Makundi ngangari!!!
Klabu za Uingereza Fulham, Everton na Celtic zimepangwa Kwenye Makundi magumu katika EUROPA LIGI kufuatia Dro iliyofanyika mchana huu huko Monaco.
Fulham iko Kundi moja na Vigogo wa Italia Roma, Basle na CSKA Sofia KUNDI E wakati Everton wako KUNDI I pamoja na timu ya Ureno Benfica, AEK Athens na BATE Borislov.
Celtic, ambao waling’olewa na Arsenal kwenye UEFA CHAMPIONS LEAGUE, wametupwa KUNDI C pamoja na Hamburg, Hapoel Tel Aviv na Rapid Vienna.
Mechi za kwanza za Makundi zitachezwa Alhamisi, Septemba 17 na Timu mbili za juu toka kila Kundi zitajumuika pamoja na Timu 8 zitakazomaliza nafasi ya 3 kwenye Makundi ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE kufanya jumla ya Timu 32 zitakazocheza hatua ya mtoano.
Mgawo wa Makundi ni:
KUNDI A
Ajax
Anderlecht
Dinamo Zagreb
Politehnica Timisoara
KUNDI B
Valencia
Lille
Slavia Prague
Genoa
KUNDI C
Hamburg
Celtic
Hapoel Tel-Aviv
Rapid Vienna
KUNDI D
Sporting
Heerenveen
Hertha Berlin
FK Ventspils
KUNDI E
Roma
Basle
Fulham
CSKA Sofia
KUNDI F
Panathinaikos
Galatasaray
Dinamo Bucuresti
SK Sturm Graz
KUNDI G
Villarreal
Lazio
Levski Sofia
SV Red Bull Salzbug
KUNDI H
Steaua Bucuresti
Fenerbahce
FC Twente
FC Sheriff
KUNDI I
Benfica
Everton
AEK Athens
BATE
KUNDI J
Shakhtar Donetsk
Club Brugge
Partizan Belgrade
Toulouse
KUNDI K
PSV
FC Copenhagen
Sparta Prague
CFR Cluj-Napoca
KUNDI L
Werder Bremen
FK Austria Vienna
Athletic Bilbao
Nacional

No comments:

Powered By Blogger