Thursday 27 August 2009

WACHEZAJI BORA ULAYA MSIMU WA 2008/9 WATAJWA!!!
MESSI NI MCHEZAJI BORA ULAYA!!!!!
Lionel Messi wa FC Barcelona amenyakua Tuzo ya Mshambuliaji Bora na Mchezaji Bora wa Ulaya kwa msimu wa 2008/9.
Tuzo hiyo ilitolewa wakati wa Dro maalum ya kupanga Timu kwenye Makundi ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE.
Tuzo ya Kipa Bora imechukuliwa na Edwin van der Sar wa Manchester United.
John Terry wa Chelsea ametwaa Tuzo ya Beki Bora.
Tuzo ya Kiungo Bora imekwenda kwa Xavi wa Barcelona.

No comments:

Powered By Blogger