Sunday 28 March 2010

Liverpool 3 Sunderland 0
Wakiwa kwao Anfield, leo Liverpool wameipiga Sunderland mabao 3-0 katika mechi ya Ligi Kuu na kuchukua nafasi ya 5 kwenye Ligi.
Hadi mapumziko Liverpool walikuwa mbele kwa bao 2 zilizofungwa na Fernando Torres na Glen Johnson.
Kipindi cha pili Torres akapachika bao moja zaidi na kufanya bao ziwe 3-0.
MSIMAMO LIGI KUU England baada ya mechi za leo kwa Timu 10 za juu:
1. Man United mechi 32 pointi 72
2. Chelsea mechi 32 pointi 71
3. Arsenal mechi 32 pointi 68
4. Tottenham mechi 31 pointi 58
5. Liverpool mechi 32 pointi 54
6. Man City mechi 30 pointi 53
7. Aston Villa mechi 31 pointi 51
8. Everton mechi 32 pointi 49
9. Birminghma mechi 32 pointi 45
10. Blackburn mechi 32 pointi 41
RATIBA
[SAA ZA BONGO]
Jumatatu, 29 Machi 2010
LIGI KUU
[saa 4 usiku]
Man City v Wigan
Jumanne, 30 Machi 2010
UEFA CHAMPIONS LIGI
[saa 3 dak 45 usiku]
Bayern Munich v Man United
Lyon v Bordeaux
Jumatano, 31 Machi 2010
UEFA CHAMPIONS LIGI
Arsenal v Barcelona
Inter Milan v CSKA Moscow

No comments:

Powered By Blogger