Wednesday 26 November 2008


MATOKEO MECHI ZA JANA UEFA CHAMPIONS LEAGUE:


Group E:

AaB Aalborg 2-1 Celtic

Villarreal 0-0 Man Utd

Group F:

Bayern Munich 3-0 Steaua Bucharest

Fiorentina 1-2 Lyon

Group G:

Arsenal 1-0 Dynamo Kiev

Fenerbahce 1-2 FC Porto

Group H:

BATE Borisov 0-1 Real Madrid

Zenit St Petersburg 0-0 Juventus

Arsenal na Manchester United wasonga mbele kwenda Raundi nyingine!!

Timu za Arsenal na Manchester United zimefanikiwa kusonga mbele kutoka kwenye makundi yao huku bado wakiwa na mechi moja mkononi.
Arsenal aliifunga Dynamo Kiev uwanjani kwake Emirates kwa bao 1-0, bao lililofungwa na Nicklas Bendtner kwenye dakika ya 87.

Manchester United walitoka suluhu ya 0-0 na Villareal ugenini huko Spain na hivyo kujihakikishia wanasonga mbele pamoja na Villareal.

Timu nyingine ambazo tayari zimefuzu kuingia raundi inayofuata ni pamoja na Real Madrid, Juventus, FC Porto, Lyon na Bayern Munich.

MECHI ZA LEO: Jumatano, 26 Novemba 2008 [saa 4 dak 45 usiku]

Anorthosis Famagusta v Werder Bremen,

Atletico Madrid v PSV,

Bordeaux v Chelsea

CFR 1907 Cluj-Napoca v Roma,

Inter Milan v Panathinaikos,

Liverpool v Marseille,

Shakhtar Donetsk v Basle,

Sporting v Barcelona,

No comments:

Powered By Blogger