Friday 28 November 2008

PORTSMOUTH 2 AC MILAN 2

Portsmouth wakiongoza bao 2-0 hadi dakika ya 84 kwa mabao yaliyofungwa na Younes Kaboul na Kanu walijikuta wakiumwaga ushindi baada ya kumruhusu Ronaldinho, alieingia mwishoni kipindi cha pili, kufunga kwa frikiki na Inzaghi kuwaliza dakika ya mwisho ya mchezo.

No comments:

Powered By Blogger