Monday 24 November 2008

MECHI YA LEO YA LIGI KUU 24 Novemba 2008:
Wigan v Everton
Uwanja: JJB Saa: 5 usiku bongo taimu


Kufuatia mechi zilizochezwa wikiendi hii iliyopita, hakuna hata timu moja kati ya timu zilizoko kwenye nusu ya juu katika msimamo wa LIGI KUU iliyoshinda na leo usiku Everton ambao wako nafasi ya 7 kwenye msimamo wa ligi wanashuka uwanjani ugenini kucheza na Wigan ambao wanashikilia nafasi ya 18 ikiwa ni tinu ya tatu toka chini.
Wigan wameshinda mechi moja tu ya ligi kati ya 7 walizocheza mwisho huku Everton hawajafungwa katika mechi 5 zilizopita.
Timu zitatokana na Wachezaji wafuatao:
Wigan:
Kirkland, Pollitt, Melchiot, Bramble, Scharner, Figueroa, Taylor, Kilbane, De Ridder, Valencia, Palacios, Brown, Cattermole, Koumas, Kapo, Heskey, Zaki, Camara, Cywka, Kupisz, Routledge.
Everton: Howard, Neville, Yobo, Jagielka, Lescott, Arteta, Cahill, Rodwell, Vaughan, Pienaar, Fellaini, Osman, Yakubu, Saha, Hibbert, Anichebe, Baines, Nash, Castillo, Jutkiewicz, Gosling.
Refa: Rob Styles

No comments:

Powered By Blogger