Friday 22 January 2010

Arsenal yupo kileleni lakini kimbembe chao kinakuja!!!
Wiki 3 zijazo, Mechi 6 zijazo kuamua MBIVU au MBICHI!!!!
Baada ya kuwatungua Bolton mabao 4-2 hapo juzi huku wakipata ‘msaada mkubwa’ wa Refa Alan Wiley na hivyo kukaa kileleni mwa Ligi Kuu, Arsenal sasa ndio wanaingia hatua ngumu mno kwao kwa kukumbana na Vigingi na Vigogo vya kila aina ambavyo wakivishinda basi wanaweza wakatwaa Mataji yao ya kwanza tangu Mwaka 2005 walipotwaa FA Cup kwa mara ya mwisho.
RATIBA YAO YA WIKI 3 ZIJAZO NI:
Jumapili, Januari 24
FA Cup: Stoke v Arsenal
Jumatano, Januari 27
LIGI KUU: Aston Villa v Arsenal
Jumapili, Januari 31
LIGI KUU: Arsenal v Man United
Jumapili, Februari 7
LIGI KUU: Chelsea v Arsenal
Jumatano, Februari 10
Arsenal v Liverpool
Jumatano, Februari 17
UEFA CHAMPIONS LEAGUE: FC Porto v Arsenal
Wikiendi hii ni FA CUP, LIGI KUU ni Mechi 1
Wikiendi hii ni mahsusi kwa Kombe la FA lakini itakuwepo mechi moja tu ya Ligi Kuu ambayo ilipangwa upya baada ya Timu za Manchester United na Hull City kutolewa kwenye Kombe hilo na hivyo Timu hizo zitakutana Old Trafford siku ya Jumamosi kwenye mechi ya Ligi Kuu.
Jumamosi, 23 Januari 2010
[saa za bongo]
LIGI KUU:
Man United v Hull City [saa 12 jioni}
FA CUP
[RAUNDI YA 4]
[saa 12 jioni isipokuwa ikitajwa]
Accrington Stanley v Fulham
Aston Villa v Brighton
Bolton v Sheffield United
Cardiff v Leicester City
Derby County v Doncaster
Everton v Birmingham
Notts County v Wigan
Portsmouth v Sunderland
Preston v Chelsea [saa 9 dak 45 mchana]
Reading v Burnlaey [saa 9 dak 45 mchana]
Southampton v Ipswich
Tottenham v Leeds United [saa 2 na robo usiku]
West Bromwich v Newcastle
Wolves v Crystal Palace
Jumapili, 24 Januari 2010
FA CUP
[RAUNDI YA 4]
Scunthorpe v Man City [saa 1 usiku]
Stoke City v Arsenal [saa 10 na nusu jioni]

No comments:

Powered By Blogger