Thursday 25 February 2010

UEFA CHAMPIONS LIGI: CSKA, Sevilla droo, Chelsea yafa!
Huko Urusi, CSKA Moscow ilitoka sare 1-1 na Sevilla na lile pambano la hamu kati ya Inter Milan na Chelsea lilimalizika kwa ushindi wa 2-1 kwa Inter Milan nyumbani San Siro.
Inter Milan ndio walipata bao la kwanza dakika ya 3 tu kupitia Milito.
Chelesea walisawazisha kwenye dakika ya 51 kwa bao la Kalou lakini Inter Milan walifunga bao la pili na la ushindi dakika ya 55 lililofungwa na Cambiasso.
Timu hizi zitarudiana Machi 9 huko Stamford Bridge.
MATOKEO MARUDIO FA CUP:
Tottenham 4 Bolton 0
Stoke City 4 Man City 3 [baada ya muda wa nyongeza]
Aston Villa 3 Crystal Palace 1
EUROPA LIGI: Ratiba Mechi za Marudiano
Alhamisi, Februari 25
Anderlecht v Athletci Bilbao [mechi ya kwanza 1-1]
Fenerbahce v Lille [mechi ya kwanza 1-2]
Galatasaray v Atletico Madrid [1-1]
Hapoel Tel Aviv v Rubin Kazan [0-3]
Juventus v Ajax [2-1]
Marseille v FC Copenhagen [3-1]
PSV v Hamburg [0-1]
Roma v Panathinaikos [2-3]
SV Red Bull Salzburg v Standard Liege [2-3]
Shakhtar Donetsk v Fulham [1-2]
Sporting Lisbon v Everton [1-2]
Unirea Urziceni v Liverpool [0-1]
Valencia v Club Brugge [0-1]
Werder Bremen v FC Twente [0-1]
Wolfsburg v Villareal [2-2]

No comments:

Powered By Blogger