Sunday 21 September 2008

BIG MECHI: CHELSEA 1 MAN U 1

Mechi kubwa ya leo CHELSEA v MAN U imemalizika kwa suluhu ya 1-1.
Ji Sung Park alifunga goli kwa Man U baada ya muvu kali ya Man U dakika ya 18 lakini Chelesea walisawazisha dakika za mwisho.

Taarifa kamili baadae.

No comments:

Powered By Blogger