Sunday 21 September 2008


WEST BROM 1 ASTON VILLA 2

West Bromwich Albion wamepigwa mabao 2-1 nyumbani kwake na jirani zao Aston Villa.
Magoli mawili ya Aston Villa yalifungwa ndani ya dakika moja kupitia John Carew kwa kichwa maridadi na la pili lilipigwa dakika moja baadae na Gabriel Agbonlahor.
Goli la West Brom lilifungwa na James Morrison baada ya Kipa wa Aston Villa kuutema mkwaju wa Robert Koren.
Sasa macho ya wote yako kwenye mechi ya Chelsea na Mabingwa Manchester United inayoaanza sasa.
Matokeo kamili baadae.

No comments:

Powered By Blogger