Saturday 27 September 2008


MAN U 2 BOLTON 0


Ronaldo na Rooney waipa ushindi Mabingwa Man U baada ya kila mmoja kufunga goli katika kipindi cha pili. Ronaldo alichezewa rafu kwenye boksi na Refa akaamua ni penalti iliyofungwa na Ronaldo mwenyewe. Kisha Rooney akaingizwa uwanjani kuchukua nafasi ya Tevez na akapachika bao baada ya gonga safi za Man U.

STOKE O CHELSEA 2

Mabao ya Jose Bosingwa na Nicholas Anelka yamewapa ushindi wa ugenini Chelsea wa bao 2-0 zidi ya timu iliyopanda daraja Stoke City.

MATOKEO MECHI NYINGINE:

Aston Villa 2 Sunderland 1

Fulham 1 West Ham 2

Middlesbrough 0 West Brom 1

Newcastle 1 Blackburn 2

No comments:

Powered By Blogger