Sunday 21 September 2008


BOSI WA LIVERPOOL ALILIA GOLI!!!

Bosi wa Liverpool Rafael Benitez amelalamika vikali kuhusu kukataliwa goli lao katika mechi ya LIGI KUU jana ambayo Liverpool walitoka dro ya 0-0 na Stoke City hapo kwao Anfield.
Nahodha Steven Gerrard alipiga frikiki kwenye sekunde ya 76 tu tangu pambano lianze lakini Refa Andre Marriner akalikataa bao hilo.
Hata Meneja wa Stoke City Tony Pulis amekiri kwamba walibahatika sana kwa goli hilo kukataliwa.

No comments:

Powered By Blogger