Thursday 28 May 2009

Ferguson akiri: 'Tumefungwa na Timu Bora!!'
Sir Alex Ferguson amekubali Manchester United imefungwa na Timu bora na ametamka sisi tuna Timu changa na tutaanza upya.
Barcelona wameshinda Kombe la Klabu Bingwa Ulaya baada ya kuwapiga waliokuwa Mabingwa Watetezi wa Kombe hilo Manchester United bao 2-0.
Hata Rio Ferdinard amekiri kwamba Barcelona wamestahili kuwa Mabingwa kwa vile Man U hawakucheza vizuri.

No comments:

Powered By Blogger