Sunday 14 February 2010

Fa Cup: Mechi za leo
Jumapili, Februari 14
[saa za bongo]
[saa 10 na nusu jioni]
Bolton v Tottenham
[saa 12 jioni]
Fulham v Notts County
[saa 12 dakika 45]
Crystal Palace v Aston Villa
FA Cup: Man City ulimi nje kwa Stoke!!
Straika wa Stoke City Ricardo Fuller ambae majuzi tu alikuwa mikononi mwa Polisi baada ya kupata tafarani kwenye Naiti Klabu ameiwezesha Stoke kupata suluhu ya 1-1na Man City na hivyo kulazimisha mechi yao ya Raundi ya 5 ya Kombe la FA kurudiwa uwanjani kwao.
Man City ndio walikuwa wa kwanza kufunga bao kupitia Shaun Wright-Phillips ambalo hasa unaweza kusema ni kama mchezo wa Ze Komedi kwa jinsi lilivyochekesha jinsi lilivyofungwa.
CAF CHAMPIONS LEAGUE: MATOKEO Jumamosi Februari 13
Yanga 2 v Saint Eloi Lupopo [Congo DR] 3
Sofapa [Kenya] 0 v El Ismaily [Misri] 0
Gaborone United [Botswana] 0 v Orlando Pirates [Afrika Kusini] 0
URA [Uganda] 1 v Zanaco [Zambia] 0
Armed Forces [Gambia] 1 v JS Kabyle [Algeria] 2
OS Balantas [Guinea-Bissau] 0 v Difaa El Jadida [Morocco] 0
KWINGINEKO ULAYA: Matokeo jana
BUNDESLIGA
Jumamosi, Februari 13
Stuttgart 1 v Hamburg 3
Bayer Leverkusen 2 v Wolfsburg 1
Hertha Berlin 1 v Mainz 05 1
Hannover 1 v Werder Bremen 5
Bochum 2 v 1899 Hoffenheim 1
Bayern Munich 3 v Borussia Dortmund 1
SERIE A
Jumamosi, Februari 13
Sampdoria 2 v Fiorentina 0
Roma 4 v Palermo 1
LA LIGA
Jumamosi, Februari 13
Xerez 0 v Real Madrid 3
Villareal 2 v Athletic Bilbao 1
Sporting Gijon 1 v Valencia 1

No comments:

Powered By Blogger