Saturday 16 January 2010

KOMBE LA AFRIKA: Nigeria 1 Benin 0
Bao la penalti ya Yakubu Ayegbeni dakika ya 42 limewapa ushindi Nigeria dhidi ya Benin wa bao 1-0 na hivyo kufufua matumaini yao hasa baada ya kushindiliwa 3-1 na Misri katika mechi ya kwanza.
Nigeria watacheza mechi yao ya mwisho na Msumbiji wakati Benin watamaliza na Misri.
Mechi nyingine ya Kundi hili itakayoanza punde ni Misri v Msumbiji.

No comments:

Powered By Blogger