NGOMA NGUMU: Ivory Coast 0 Burkina Faso 0

Ivory Coast walistahili kushinda mechi hii kwa vile waliitawala na kuwabana Burkina Faso nusu uwanja lakini Kikosi chao kilichojaa Mastaa kina Drogba, Kone, Yaya Toure, Kolo Toure, Eboue, Kalou na Dindane kilishindwa kupata hata kigoli cha babu.
Sasa Ivory Coast wana kimbembe kikubwa hapo Januari 15 watakapovaana na Timu ngumu Ghana.
MECHI ZA KESHO Januari 12: [saa za bongo]
[KUNDI C Mjini Benguela]
Egypt v Nigeria [saa 1 usiku]
Mozambique v Benin [saa 3 na nusu usiku]
No comments:
Post a Comment