Wednesday 7 April 2010

EUROPA LIGI: Kesho Liverpool kazi ipo na Benfica!!
Kesho, Liverpool wana mtihani mkubwa wa kuifunga Benfica ili waweze kuingia Nusu Fainali ya EUROPA LIGI na kuweka hai matumaini yao ya angalau kuvuna Kikombe kimoja msimu huu.
Liverpool wanahitaji ushindi ili kuwapiku Benfica ambao wiki iliyokwisha waliichapa Liverpool bao 2-1.
Wakati Liverpool wanamenyana na Benfica, wenzao wa Ligi Kuu Fulham watakuwa Ujerumani kurudiana na Wolfsburg Timu ambayo waliifunga bao 2-1 wiki iliyopita.
RATIBA:
ROBO FAINALI: Marudiano
[Matokeo mechi za kwanza kwenye mabano]
Alhamisi, Aprili 8
Atletico Madrid v Valencia [2-2]
Liverpool v Benfica [1-2]
Standard Liege v Hamburg [1-2]
Wolfsburg v Fulham [1-2]
NUSU FAINALI
Alhamisi, Aprili 22
Hamburg/Standard Liege v Fulham/Wolfsburg
Valencia/Atletico Madrid v Benfica/Liverpool
Alhamisi, Aprili 29
Fulham/Wolfsburg v Hamburg/Standard Liege
Benfica/Liverpool v Valencia/Atletico Madrid
FAINALI
Jumatano, Mei 12

No comments:

Powered By Blogger